LATEST POSTS

Thursday, October 29, 2015

BREAKING NEWS: DK. MAGUFULI NDIYE RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

BREAKINGNEWS3
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imemtangaza Dk. John Pombe Magufuli kuwa ndiye Rais Mteule wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania baada ya kupata kura 8,882,935  sawa na asilimia 58.46%.

Dk. John Pombe Magufuli.

0 comments: