LATEST POSTS

Friday, June 19, 2015

PSQUARE WAJITETEA KUHUSU KUTOKWENDA KANISANI TOKEA 2007

P-SQUARE
Imebainika ya kwamba Mastaa wa wa Music Toka Nigeria Peter and Paul Toka mwaka 2007 walipoanza kuwa maarufu hawahudhurii ibada za kanisani jumapili...Wakijitetea Baada ya Kuulizwa Swali hilo P-square wamesema :

Kila walivyokuwa wakienda kanisani watu huwatazama na kuwafatilia kuliko kufatilia ibada na sala kitu ambacho kinatufanya tujisikie kama tunaharibu ibada za watu ...watu wote tuko sawa mbele ya Mungu ndio maana sio sahihi kufanya watu waache sala sababu yetu

BAADA YA NDOA KUVUNJIKA MUME NA MKE WAGAWANA KILA KITU NUSU KWA NUSU

Ndoa iliisha baada ya miaka 12, mume akaona kila kitu wagawane nusunusu, PICHA NA VIDEO VIKO HAPA

divorce-half-of-everything-12
Ni kama utani hivi.. eti kweli ikitokea ndoa inaisha alafu Mahakama ikaamua kila kitu mgawane nusunusu, hiyo nusu yenyewe ndio inakuwa kwenye mtindo huu??
Der Juli ni jina la Mjerumani mwingine kwenye Headlines baada ya kuingia mtandaoni na kutangaza kwamba anauza hivi vitu ambayo wamegawana nusunusu na mkewe baada ya ndoa kufikia mwishoni.
Cheki pichaz za vitu vyewewe sasa !!
half-a-macbook-pro-der-juli-ebay
Hii ni laptop ya Apple, hapo ndio imeshagawanywa nusu yani!
half-a-mailbox-der-juli-ebay1
Hili ni sanduku la barua, na lenyewe limegawanywa tayari.
half-an-iphone-5-der-juli-ebay1
iPhone nayo haikuachwa.
half-an-opel-corsa-der-juli-ebay1
Gari ndogo ya kutembelea, Opel Corsa nayo iko nusu hapo.
half-a-samsung-tv-der-juli-ebay1
TV ya Samsung nayo iko nusu.
half-a-teddy-bear-der-juli-ebay1
Mdoli nao ulikutwa na huu mkasa wa kugawanywa nusu !!
half-of-four-chairs-der-juli-ebay1
Viti vya kukalia.
Helmet
Helmet ambayo inavaliwa kichwani ukiendesha pikipiki
divorce-half-of-everything-6
enhanced-3911-1434633611-9
Hapa kuna video wakati jamaa yuko busy kabisa anagawanya vitu

Mwanamke atoa mpya Nigeria, soma hapa alichokifanya


Mwanamke mmoja nchini Nigeria ametangaza kupitia redio kuwa anatafuta mume, akisema atampa gari na nyumba. Mamia ya wanaume walifurika kituo cha radio cha Freedom, mjini Kano ambapo polisi walilazimika kuitwa kutuliza watu. Msichana huyo, Zainab Abdulmalik, 22, amesema alikuwa amekasirishwa mno na 'boyfriend' wake wa zamani. Mtangazaji wa redio - Nasiru Zango- ameiambia BBC kuwa Zainab alichagua mchumba kutoka katika mlolongo mrefu wa wanaume waliokuwa wamejipanga nje ya kituo cha redio na kuondoka.

China yawazuia Waislamu wa Xinjiang kufunga Saum


Serikali ya China imepiga marufuku wanafunzi, walimu na watumishi wa umma katika eneo la Xinjiang lenye Waislamu wengi kutekeleza ibada ya Saumu kwenye mwezi huu mtukufu wa Ramadhani. Serikali pia imezuia watu kuhudhuria marasimu yoyote ya kidini ikiwa ni pamoja na ibada za usiku. Taarifa ya serikali imetaka biashara kwenye hoteli na mikahawa kufunguliwa nyakati za mchana kama kawaida. Wanaharakati wa Kiislamu wamepinga agizo hilo la serikali wakisema linalenga kuhujumu dini tukufu ya Kiislamu.
Kwa miaka kadhaa sasa, serikali ya China imekuwa ikitekeleza sheria hiyo ya kibaguzi, na mwaka uliopita, watu kadhaa walifikishwa kortini kwa kukaidi sheria hiyo na kutekeleza ibada ya funga. Ingawa serikali inasema lengo la kuweka sheria hiyo ni kuhakikisha masuala ya dini hayavurugi muundo wa jamii, duru za kuaminika zinasema sheria hiyo ina malengo ya kiuchumi kwani imewekwa ili kuhakikisha nguvu kazi ya taifa haipungui katika mwezi wa Ramadhani.

ALIYEMTEKA ALBINO TABORA AFUNGWA JELA MIAKA 10

 Masanja Mwinamila (44) mara baada ya kufikishwa katika kituo cha Polisi Wilaya ya Nzega Juni 15, 2015.
Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tabora, ACP Juma Bwire akizungumza na waandishi wa habari kuhusiana na tukio hilo Juni 16, 2015.
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi ya Wilaya ya Nzega leo hii imemhukumu Masanja Mwinamila (44), mkazi wa Kitongoji cha Kona Nne, Kijiji cha Ugembe II, Kata ya Mwakashanhala, Tarafa ya Puge wilayani Nzega katika Mkoa wa Tabora kwenda jela miaka 10 kwa kosa la kuteka mtoto mwenye albinism, Margreth Hamisi (6).
Hakimu Mkazi Mfawidhi wa mahakama hiyo, Saraphine Nsana, alitoa hukumu hiyo baada ya mshtakiwa kusomewa shtaka na kukiri kutenda kosa hilo.
Ilielezwa mahakamani hapo kwamba, mnamo Juni 15, 2015 majira ya saa 3:00 usiku katika Kijiji cha Ugembe II, Kata ya Mwakashanhala wilayani Nzega, mtuhumiwa alimteka binti huyo kwa lengo la kwenda ‘kumuuza’ ili ajipatie fedha (kiasi kimehifadhiwa).

Hii ni mara ya kwanza kwa kesi inayohusisha utekaji nyara, kujeruhi na mauaji dhidi ya watu wenye albinism kuchukua muda mfupi zaidi, kwani ndiyo kwanza kesi hiyo ya Jinai Namba 116/2015 imefikishwa mahakamani kwa mara ya kwanza na kutolewa hukumu.
Mafanikio ya kukamatwa kwa Masanja Mwinamila akiwa katika harakati za kutaka kumuuza mtoto Margreth Hamisi, ambaye ni mpwa wake, yametokana na umakini wa Jeshi la Polisi nchini ambapo maofisa wake wa Kikosi Kazi cha Taifa waliweka mtego na kufanikiwa kumnasa mtuhumiwa kabla hajamdhuru mateka wake.
Tukio hilo limefanikisha kuubomoa mtandao hatari wa mauaji ya watu wenye ulemavu wa ngozi (albino) kwani ni takriban wiki tatu tu tangu maofisa usalama walipofanikiwa kuwanasa watu wengine sita wakiwa katika harakati za kuuza mifupa inayodhaniwa kuwa ya binadamu (albino) mjini Kahama Mei 22, 2015 ambapo tayari wamekwishafikishwa mahakamani pamoja na wengine watatu waliokamatwa baadaye.
Matukio hayo mawili makubwa yaliyotokea katika kipindi hicho yamedhihirisha namna serikali kupitia jeshi hilo na vyombo vingine vya usalama inavyoshughulikia mitandao hiyo hatari usiku na mchana ili kuhakikisha Watanzania wote wanaishi kwa amani na usalama.

Jengo La Ekamasuites Lodge Lililopo Kijitonyama Jijini Dar Lateketea kwa Moto


Jengo moja la Nyumba ya wageni ijulikanayo kama Ekamasuites Lodge iliyopo eneo la Kijitonyama karibu na Kituo cha Polisi cha Mabatini jijini Dar es Salaam, imeteketea vibaya kwa moto muda mfupi uliopita, Kikosi cha Zima Moto kimechelewa kufika eneo la tukio .Habari  kamili  baadae

Lowassa Apata Mapokezi ya Kishindo Jijini Mbeya.......Apata Wadhamini 53,156


Umati wa WanaCCM pamoja na Wananchi wa Mkoa wa Mbeya, wakiwa wamemzunguka Waziri Mkuu Mstaafu na Mtangaza nia ya kuwania Urais wa Tanzania, Mh. Edward Lowassa (katikati) wakati alipowasili kwenye Ofisi za CCM Mkoa wa Mbeya leo Juni 19, 2015 kukabidhiwa fomu zitakazomuwezesha kupata ridhaa ya Chama chake kuwania Urais kwenye Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 25, 2015. 
 
Mbeya wamevunja rekodi ya udhamini kwa Mh. Lowassa ya mikoa yote aliyopita, amepata wadhamini 53,156 kwa mkoa wa Mbeya pekee.
Waziri Mkuu Mstaafu na Mtangaza nia ya kuwania Urais wa Tanzania, Mh. Edward Lowassa akizungumza machache na kutoa shukrani kwa WanaCCM na Wananchi wa Mkoa wa Mbeya waliofurika kwa wingi kwenye Uwanja wa Ofisi za CCM Mkoa wa Mbeya, leo Juni 19, 2015.

Waziri Mkuu Mstaafu na Mtangaza nia ya kuwania Urais wa Tanzania, Mh. Edward Lowassa akipokea fomu za WanaCCM zaidi ya elfu tisa wa Wilaya ya Mbeya Vijijini kutoka kwa Katibu wa CCM wa Wilaya hiyo, Mary Kalinze.

MWANAMKE RAIA WA TANZANIA AKAMATWA NA KILO 70 ZA MADAWA YA KULEVYA KATIKA UWANJA WA NDEGE WA MUMBAI NCHINI INDIA


Mwanamke raia wa Tanzania aliyejulikana kwa jina la Chambo Fatma Basil, amekamatwa katika uwanja wa ndege wenye harakati nyingi wa Mumbai nchini India akiwa na kilo 74 za dawa za kulevya aina ya methaqualone.
Maafisa wa Uhamiaji na wa Usalama walimkamata mwanamke huyo, Jumatano akiwa na paspoti ya Tanzania akijianda kuja Dar es Salaam kupitia Doha, baada ya kupatiwa taarifa za kiitelijensia.

Friday, May 8, 2015

HOUSEMAIDS UNTOLD STORY


Mtoto wa miaka mitatu aambukizwa H.I.V na dada wa kazi. Alikua akimchanganyia damu yake ya hedhi kwenye uji. Inauma sana jamani. Watoto wetu wanapata tabu sana na hawa wasaidizi wetu.

Mkasa wenyewe ni huu ufuatao:

Sudden appearance of general body malaise, a series of skin infections followed by other health complications in a three-year-old boy brought about panic and a puzzling  reaction to parents of three in Dodoma, not aware that a more shocking surprise was around the corner. 

On realising that their kid was an HIV-positive, they soon became suspicious of the doctors’ findings over possibility of the kid catching the mainly inheritable or sexually transmitted disease from the healthy parents, they certainly were. 

But their shocking eyebrows raised higher when they discovered it was their housemaid Jane from Turiani in Morogoro Region who was the source of the kid’s fatal disease that they could not help, but brand her paedophile. 

The mother fell in a short comma later on hearing Jane’s confession during police interrogations that she would routinely feed the child with porridge mixed with her menstrual blood for motives she never disclosed.

Mwamvita Haule, a Dar es Salaam-based businesswoman and former civil servant who lived next door to the child’s family in Dodoma could not hold back her tears while narrating the 10-year-old episode. 

“I don’t want to guess of what might have happened to the kid who would be 13 now, as we parted with the family soon after the incident,” she said.

“Her cruelty is beyond human imagination; I wonder the extent of pain she caused the family who had treated her like their own daughter,” she said demonstrating an impact of the bitter experience left in her.

Ms Haule likened Jane’s cruelty with that of a 22-year-old Ugandan maid, Jolly Tumuhirwe who was jailed for four years in December for committing an “unjustifiable and inexcusable” crime by abusing a toddler under her care.
 
It was a case that shocked the world that the media described the video footage showing the nanny performing her devilish acts on the toddler as “spine-chilling” and “very disturbing” and the judge describing the crime as “ruthlessness exhibited” on an “innocent, helpless child.”  

Seemingly frightened by the horrible experience in keeping nannies, Mama Caroline, an industrial worker living at Kimara Temboni and a mother of three has vowed to never hire any, but wish she could afford sending her last kid to a day-care centre. 

“If I had enough money, I would have rather kept my three-year-old child at a day-care centre than running a risk of keeping the kid at the mercy of a house girl,” she said.

However, negative attitudes against house maids go far beyond their treatment to children under their care. Female spouses have been often crying foul over extra marital relations between maids and their husbands. 
  
A customer care officer in a telecommunication company who preferred  anonymity and a mother of one who is married for about two years now had to let her maid go after she discovered she was having relations with her husband.

Like Mama Caroline, she has also vowed to never hire a stranger for domestic jobs though it has been only two months ever since she fired her husband’s lover to save her marriage. 

The mother of a baby boy, however, does not want to lay all the blames to the maid, saying it is her spouse who had conspired the cheat. 

She said that the husband insinuated the incident in which a 20-year-old girl with whom he had relations was brought home by an agent, but she later discovered they had been having affairs long time prior to her becoming nanny.

Mobile phone love messages and extreme defensive stance of the girl the husband mustered during domestic rows were among the clues that led to her discovery.

“I had to fire her and I’m not sure if I need a stranger housemaid any more; I think a close relative of mine from the village will do the job better,” she said.

Wilhelimina John, pharmacist at Mabibo Mwisho also expressed housemaids as greedy sex chasers preying for loose guys, citing an incident when she found her house girl in bed with a stranger on the day when she returned home from work earlier than usual. 

 “She was on my bed and in my dress and with a bodaboda man; I fired her immediately,” she said.

There also have been incidents of robbery and theft connected to housemaids.
A senior reporter of Nipashe newspaper (name withheld) said that her maid had organized night robbery only a day after she was fired, but failed thanks to next door neighbour who yelled at the buglers.

“She was aware that husband was away and that women were the only persons at home that night,” she said.

In the related incident, a senior member of the Guardian staff (name withheld) was shocked on discovering that his maid had disappeared at dawn with large amount of money he had just received from a business trip in 2013. 

Like Jane, the housemaid also hailed from Turiani to which she was bound when caught at the bus station.

During police search she was found with everything ranging from tooth brushes and paste, soaps, hangers, baby dolls, worn out shoes, underpants to a mobile phone, money and clothes. 

It was only the second month since her arrival at the host family, courtesy of the family friend.

Some people, however, smell a rat in the housemaid business, saying it has turned into an organised criminal syndicate reminiscent of human trafficking.

Mariana Wilson, resident of Mwenge in Dar es Salaam said that she once paid Sh65,000 bus fare to a broker for a housemaid from Kigoma, only for the girl to stay two days before disappearing. 

But when she complained before the broker of the deal, he extorted extra money from her only for him to disappear, implying conspiracy theory between the girl and the agent.

However, Mama Ethan’s maid preferred a twist from the maids-cum-thieves and the maids-cum-swindlers. 

Her’s was always in a puzzling mood, keeping the mistress in a dilemma over what may come next out of her. 

Mama Ethan said though she was hard working, tidy and a good caretaker, her mood exacerbated by her gossiping habit and stealing items such as sugar and soap at the behest of the neighbours, exhausted her tolerance. 

But housemaids may also lose patience with their mistresses, as Sikitu Ally a former housemaid with 8 years experience puts it that they may be spoiled as a result of bad treatment by their bosses.  

Ms Ally became maid when she was 13, but quit the job when she was 21 for a marriage with the next door neighbour. It was her bosses who prepared the wedding and helped her with building the future. 

Ms Ally who is still in brotherly touches with the family, insists on the importance of giving maids human treatment, saying “if you mistreat a maid, she is most likely to do something to hurt your family.”  

Associate Professor in Psychology and Education Kitila Mkumbo echoed Ms Ally’s assertion, saying maids are not naturally evil and that nobody is born one.

He said it was indeed true that if the boss mistreated a house maid she could lead her into becoming monster because “violence would apparently bear violence.” 

“You should treat maids in the same way you would like your boss to treat you and make them feel as a part of the family and not as outsiders,”  he said.

Despite hitches in the housemaid industry the civilization has made it indispensable to urban life where women are engaged in an endless war with men in a scramble for a common economic cake.

As a result women have been forced out of their homes in search for what would otherwise be toiled by men, leaving housemaids to take care of all domestic responsibilities including children. 

A 2005 study published in the Journal of Childhood Research stated that 58 per cent of children under the age of three spend between 30 and 70 hours a week with housemaids.
SOURCE: IPP MEDIA

Mother of executed Australian drug trafficker pens emotional letter to Indonesian president

Kutoka moyoni, hii barua imeugusa sana moyo wangu. Kama mwanamke na kama mama, nimedondosha machozi. Kiukweli naamini kabisa kwamba nawe ukiisoma mstari kwa mstari, ni lazima itakugusa. 


Mother of one of the executed 9 drug smugglers has written a heart wrenching letter to the Indonesian president ..After 10 years on death row and numerous legal battles,Australian,Myuran Sukumaran was put to death last week on the Indonesian island of Nusakambangan for attempting to traffic heroin. 
In her letter to Joko Widodo, Raji Sukumaranwrote..

Dear Mr President, Leader of Indonesia and father of three children,
My name is Raji Sukumaran, and my son, Myuran Sukumaran, was executed in the early hours of Wednesday 29 April 2015 under your instructions.
As I make the preparations to bury my beautiful son, I thought I would share my feelings with you. I thought I would share how my son was reformed, was full of life, love and passion, and who so desperately wanted to live his life in service to help others.
I have made this letter open in the hope that it may help other people or their families, in some way as they sit and wait for you to order their deaths.
I would really like to think that you would be able to understand, if you don’t, then feel free to share this letter with your wife, who I think would understand, one mother to another.

My son doesn’t want another mother, father, sister or brother to go through what we went through. For no grandparents, aunts, uncles, cousins or friends should have to deal with what we’ve had to deal with.


I am not sure where you were as the men you ordered to kill my son, and seven others pulled the trigger but I am sure you were far away. My son died knowing all his loved ones were close by waiting in a hotel room to hear the news that he had been executed. My son did commit a serious crime but he also apologised to your country and your people many times.
In the last 10 years while you kept him in prison, he chose to do all within his power to make up for his crime. It wasn’t easy, I am not sure anyone will ever realise how hard it is to try to be a good man in prison, to be a positive role model for other younger prisoners, Indonesian prisoners.
Myu spent many years rehabilitating so many prisoners, he hoped that he could help as many people as possible, to give them a chance to leave prison to go out in the world a little better than they came inside.

Myu helped prisoners who struggled with drug use and many other issues.
My son never asked for his rehabilitation to be enough to free him from prison, all he asked was that he not be killed. Was it too much for you to let him live the remainder of his life in prison? I have heard that many others around you took the time to read and learn of the works of my son, and of Andrew and of the people they helped. Many of whom are now helping other people themselves. I cannot believe that all of his works could not even get you to even read the paper you were signing.
I remember when you were elected as President of Indonesia, my son was celebrating. My son told me that ‘Our new President is a man of the people, a person that would support education, rehabilitation and people bettering themselves’ and that you would look into everything he had done in the prison.
 
I guess he was wrong. As human being, I can’t even understand how you could sign a person’s death without looking into their personal circumstances. If you do not read what you are signing how can you know whether the life you are taking belongs to someone who is mentally unwell, or an old man in a wheelchair, or young mother with two children, or a father of two, or a man who has been in your prison for 17 years, or a gospel singer, or two young boys who made foolish mistakes. My son only hoped to live in prison for the remainder of his life so that he could be able to continue his good work, which has become known around the world.
All he wanted was to be given a chance to do that.
I as a mother was punished for 10 years as well for his crime, and I will be punished for the rest of my life now because you took his life. I did not ask you to send my son home. I just asked you not to order his death but instead you ignored me and many others. I asked to meet you, to speak to you but once again you could not even have the courage to face our requests to communicate with you.


I will not have the chance to see him get married, have children. Mr President, do you think that your punishment towards my son after he had spent 10 years in gaol reformed and helping others and then executing him is fair and just? Do you as a leader feel that everyone who faces justice in Indonesia is treated fairly and equally? Do you believe that Indonesia has a justice system that doesn’t make mistakes? Do you not hear or read all the stories about corruption in criminal cases?
I think this is something very important —you have told the thousands and thousands of people in prisons across your country, that no matter how hard you work, no matter how much you change your life, no matter what your personal circumstances are — you will not receive mercy. You ask them to not try, as I have never heard of anyone in prison around the world doing the works my son has done — it was still not enough for you to read his clemency application.


Former Indonesian President Susilo Bambang Yudhoyono, left, stands with Joko Widodo ahead of his swearing in as Indonesia's seventh president in 2014
I hope your wife would understand what myself and Andrew Chan’s mother are going through. I felt so helpless as I watched my son walk away, healthy and full of life. I watched as over the last four months you tortured him by making jokes about his life, making him guess the night he would be taken, openly discussing the way in which he would die, parading and humiliating our family.
We made funeral plans for our sons while they were still alive. This was because we were told you the President had not changed your mind, and that you had ordered the executions to be carried out, despite the world wide outcry to let our sons live. I want to ask you to put your family in my situation. Only days before I saw a video in which you said that you did not want Indonesians to be killed overseas.
I know as I write this letter, the death of our children will not make any difference to drug trade in Indonesia. I am sure you know this, and that your reasons for taking these 8 lives had nothing to do with preventing drugs and everything to do with your politics.

  hope that your children, your grandchildren, your nephews and nieces never make a mistake. I also want you to remember when your child falls in love, gets married, makes plans for the future, that Andrew Chan also fell in love, made plans for his future and was executed. How would it feel if this was your son?
I was told as my son said his last words, one of the last things he did was say a prayer for Indonesia. My son sought forgiveness for your country and the men taking his life, as he knew you did not know what you were doing. This was the man you ordered to die. I am not sure whether I could ever forgive you, I hope that I have that much grace and compassion in my heart one day. But I am sure this pain in my heart will stay with me for the rest of my life, and it hurts so much. Think for a second, one of your children is tied to post, and men are lined up in front of them and the fear he would have felt, and then your child is shot through the heart. My son was young and foolish, he did not deserve to suffer like this.
My son will be missed by so many people who love him and so many people are finding it difficult to come to terms with what has happened.
As I finish this letter I pray for the many other men and women whose lives are in your hands, especially those on death row. I pray that you will have the courage to look beyond the politics for they too have families who love them despite their mistakes.

Raji Sukumaran.

Friday, April 17, 2015

Watu 10 wakamatwa msikitini wakiwa na milipuko, sare za jeshi, bendera ya Al Shabaab

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro, Leonard Paul akiwaonyesha waandishi wa habari baadhi ya milipuko 30 inayodaiwa kukamatwa baada ya polisi kuwakamata watu 10 katika eneo la Kidatu, mkoani humo. Picha na Lilian Lucas
Watu 10 wanashikiliwa na polisi mkoani Morogoro baada ya kukamatwa msikitini wakiwa na milipuko 30, sare za jeshi na bendera nyeusi inayodaiwa kutumiwa na kundi la wapiganaji wa Al Shabaab wa nchini Somalia.
Akizungumza na waandishi wa habari leo, Kamanda wa polisi mkoani Morogoro, Leonald Paul alisema tukio hilo limetokea Aprili 14 mwaka huu majira ya saa 3.30 usiku katika kitongoji cha Nyandero, tarafa ya Kidatu wilayani  Kilombero.
Aidha alisema siku ya tukio polisi walipata taarifa kutoka kwa raia wema kuhusu watu hao na kwamba walitaarifiwa kuwa wanajihusisha na matukio mbalimbali ya uhalifu na polisi waliamua kufatilia nyendo zao.
Kamanda huyo alisema walianza kuwasaka watu ambao walipata taarifa wapo katika Msikiti wa Suni uliopo Kidatu.
“Polisi walipofika katika msikiti huo waliuomba uongozi wa msikiti huo kuwatoa watu wote waliokuwa msikitini ili kuweza kubaini watu ambao wanatiliwa mashaka,”
Alisema polisi waliendelea na ukaguzi na kuwakamata watu hao 10 wakiwa na vifaa hivyo na kuwatia nguvuni.
Chanzo: Mwananchi

Mbinu za uandishi bora (Sehemu ya pili)

Hadhari/Tahadhari:
Hadhari ni nomino na tahadhari ni kitenzi. Hadhari ni uangalifu. Hadhari kabla ya athari/hatari. Tahadhari ni kitenzi. Kuepuka jambo ili usipatikane na hatari au ubaya.
Hatima/ hatma:
Neno sahihi ni hatima
Harusi/arusi :
Maneno yote mawili yanatumika ila kwa mazoea ya wengi neno harusi ndilo linalotumika zaidi.
I
Idadi/nambari:
Idadi ni jumla ya vitu au mambo yanayohesabika. Nambari limetokana na neno namba (number) yana maana ya tarakimu kama 1, 2, 3, 4, 5.
Idadi ni namba au hesabu ya kujumuisha.Tunasema idadi kubwa ya Watanaznia ni wakulima.
J
Jingine/Lingine:
Yote ni  sahihi ila hutegemea muktadha husika.
Jinsi na jinsia.
 Jinsi ni namna kitu kilivyo au kiumbe kama vile binadamu, wanyama au ndege. Tunayo jinsi ya kike na jinsi ya kiume. Kwa lugha ya kigeni ni ‘sex’.ku
Jinsia  ni hali ya kuwa mume au mke. Masuala yanayohusiana  na mwanamume na mwanamke. Kwa lugha ya kigeni ni ‘gender’.
K
Kuwapo /Kuwepo:
Neno linalosadifu ni kuwapo ijapokuwa kwa mazoea watu wengi wanatumia kuwepo.
Kiwanda/Karakana :
Kiwanda  ni mahali penye sehemu za kuundia vitu mbalimbali  kama milango, vioo, madirisha, magurudumu, n.k. Sehemu hizi hufahamika kama karakana. Hivyo kiwanda huwa ni mkusanyiko wa karakana mbalimbali.
Kampuni/Makampuni:
Neno sahihi ni  kampuni na   wala siyo makampuni.
Kurudufu: Maana yake ni kunakili  au kutoa nakala nyingine.
Kimbiza /Wahisha:
Kukimbiza ni kufuata kitu au mtu kwa mbio nyuma  au kufukuza. Kuwahisha ni kutenda jambo  mapema kabla halijaharibika. Waandishi wanatumia ‘kukimbiza badala ya kuwahisha.                               
Kuongea/kuzunguma:
Tofauti kati ya maneno haya ni ndogo sana. Kuongea ni kushiriki katika mazungumzo. Kuzungumza ni kusema maneno katika mkutano au kwenye mjadala au baraza na kutoa maoni.
Kupeleka  ni kuchukua kitu au mtu na kukifikisha/kumfikisha mahala fulani. Tukiongeza kiambishi cha –ea tunapata kupelekea kwa maana ya kufikisha kitu kwa niaba ya…Mtoto alimpelekea mzazi wake mbegu shambani. Hivi sasa matumizi ya pelekea yanaleta kichefuchefu kwa Waswahili.
Kuyeyuka/kuyayuka:
Neno sahihi ni yeyuka kwa maana ya kugeuka kwa kitu kigumu kuwa kioevu.
Kunyauka/kukauka:
Kunyauka ni kufifia kwa sababu ya ukame au joto. Kukauka ni kutoka maji na kuwa kavu
Kengeuka:
Kwenda kombo, angamia. Kengeua ni kumfanya mtu afuate njia mbaya au tabia mbaya, kupotosha.
Kutokana/Kufuatia: Maneno haya mawili yanatumika kama vile yana maana moja. Kwa kweli yana maana tofauti kabisa. Kwa mfano tunasema,” Kutokana na njaa kali inayowakabili wananchi wa Bariadi, serikali imepeleka magunia 20,000 ya mahindi. Ni makosa kusema, “ Kufuatia njaa kali inayowakabili wananchi wa Bariadi, serikali imepeleka magunia 20,000 ya mahindi.
Kugharamia/kugharimia:
Neno sahihi ni kugharimia badala ya kugaramia. Gharama ni nomino.
Kwa ujumla/kwa jumla:
Maneno yote yanatumika kutegemeana na maudhui.Tunasema  kwa jumla maisha ni magumu. Hata hivyo neno linatumika kama: Kwa ujumla wake mvua imekithiri. Ni makosa kutumia, ‘Kwa ujumla tumefanikiwa…bali kwa jumla tumefanikiwa.’
Chanzo: Mwananchi