LATEST POSTS

Monday, December 9, 2013

UNHCR ULYANKULU WATOA MSAADA WA GARI LA WAGOJWA, PIKIPIKI MOJA NA COMPUTER - ULYANKULU

UNHCR Ulyankulu wametoa msaada wa gari moja la wagonjwa katika kituo cha afya Ulyankulu, Pikipiki moja katika kituo chga polisi Ulyankulu na Computer moja kwa Mkuu wa makazi Ulyankulu ili kusaidia shughuli za maendeleo Wilayani Kaliua.
Angalia yaliyojiri katika tukio hilo katika picha.

Mkuu wa Wilaya ya Kaliua Mhe. Maketta akisaini kitabu cha wageni
 
Aliyesimama ni  Ndg. Nyamwalle aliyemwakilisha Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kaliua akisema neno katika hafla hiyo fupi ya makabidhiano
 
 

 Pikipiki na gari vilivyotolewa kwa Kituo cha afya Ulyankulu na Pikipiki kwa ajili ya kituo cha polisi Ulyankulu

 

 Misaada iliyotolewa na UNHCR kama inavyoonekana katika picha


 Dr.Revocatus Masanja, aliyekuwa Mganga Mkuu Kaliua
 
 Kaimu Mkurugenzi Ndg. Nyamwalle (katikati) akiwa na Wataalamu wa Halmashauri ya Wilaya ya Kaliua muda mfupi kabla ya zoezi la kukabidhiwa vifaa halijaanza.

0 comments: