LATEST POSTS

Wednesday, October 14, 2015

Jamani, aliyetuumba hajatukosea. Why all this?

Nashauri wamama na wadada tuachane na mambo kama haya ya kutumia viungo bandia katika miili yetu. Ni vizuri tujipende na kujivunia vile ambavyo Mungu ametuumba kwani hajatukosea. Haya, umeweka maziwa kama haya ya bandia, halafu ukapata shemeji, mkifika chumbani inakuaje sasa? Maana pengine shemeji alivutiwa na hayo manyonyo bandia uliyojipachika halafu afike chumbani anakuta ni fake, sijui uso wako utauweka wapi. Aliyetuumba hajatukosea jamani eeee!

0 comments: