AJALI hii imetokea leo asubuhi baada ya magari kusimamishwa ghafla eneo la Lugalo, Makongo ili kuruhusu wanafunzi wavuke ndipo lori liliposhindwa kusimama na kuparamia kingo za barabarani kisha kuiangukia gari dogo aina ya Toyota Cresta 'GX 100'.
LATEST POSTS
Monday, April 14, 2014
Home »
» Ajali eneo la Lugalo - Dar
0 comments:
Post a Comment