LATEST POSTS

Saturday, April 12, 2014

Mvua yazidi kuitikisa DAR

        Picha za juu ni hali halisi ya mvua ilivyokuwa leo maeneo ya Keko-Fencha hadi Veta.

                Picha za juu ni hali halisi ya mvua maneno ya Manzese leo hii.
 
Picha zinaonesha hali halisi ya jiji la Dar es salaam leo baada ya mvua kubwa kunyesha tangu jana asubuhi na usiku mzima wa kuamkia leo. Picha chini kulia ni hali halisi ya eneo korofi la SHOPPERS PLAZA, Msasani Jijini Dar. Barabara haipitiki kabisa na magari madogo.

0 comments: