LATEST POSTS

Monday, January 20, 2014

BINTI AGONGWA NA TRENI: HII NI AJALI MBAYA YA TRENI ILIYOWAHI KUTOKEA: INATISHA SANA...!!

Ilitokea huko nigeria, binti aliyekuwa amelala kwenye reli, nakukanyagwa na treni...Inadaiwa Kisa cha binti kulala kwenye reli ni mapenzi baada ya kuachwa na boy wake hivyo akaona hakuna haja ya kuendelea kuishi.
 
Kwa kweli naomba Mungu aniepushe na maamuzi kama haya. Hivi wanaume wanakuwa wamekwisha wote hapa duniani isipokua kabaki yeye tu hadi nifikie uamuzi wa kujiua tena kwa kifo kibaya kama hiki? I think only God know!!
 

0 comments: