LATEST POSTS

Monday, August 4, 2014

MHE: ADEN RAGE APATA AJALI DODOMA




MBUNGE wa Tabora mjini (CCM), Ismail Aden Rage (pichani) na wenzake wanne wamenusurika kifo baada ya kupata ajali na gari lao walilokuwa wakisafiria kutoka Tabaora kwenda Dodoma eneo la Chigongwe mkoani Dodoma leo.
Ajali hiyo imetokea baada ya dereva wa gari walilokuwemo kujaribu kulikwepa lori lililokuwa mbele yao na kupinduka.
Rage alikuwa anaelekea mkoani Dodoma kwa ajili ya vikao vya Bunge Maalum la Katiba vinavyoanza kesho

0 comments: