LATEST POSTS

Thursday, June 25, 2015

BREAKING NEWZZZ: DOGO JEMBE ACHUKUA FOMU YA KUGOMBEA URAIS KUPITIA CCM

 Nimeamua kuchukua fomu ya kugombea urais wa Tanzania. Karibu uwe sehemu ya kampeni yangu, kuhakikisha nchi yetu inapata kiongozi ambaye anaelewa changamoto za Watanzania, na yuko tayari kushirikiana nao kuzitatua.

0 comments: