Picha ya Rais Shein iliyotengenezwa na vijana.
Wananchi wa Tanzania Bara (Tanganyika) leo wameadhimisha miaka 52 ya uhuru wake uliopatikana Desemba 9, 1961. Sherehe za maadhimisho hayo zimefanyika Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam amabapo mgeni rasmi alikuwa Amiri Jeshi Mkuu, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Jakaya Mrisho Kikwete. Viongozi mbalimbali wamehudhuria sherehe hizo.
Chanzo: Global publishers
0 comments:
Post a Comment