Maalim Gurumo (katikati) akiimba sambamba na Shabani Dede (kulia) na Hassan Moshi ‘TX Junior’ (kushoto) wakati akiwa Msondo Ngoma.
Mzee
Muhidin Gurumo (katikati) alipokuwa akizungumza na wanahabari wakati
akitangaza kustaafu rasmi kazi ya muziki katika ukumbi wa Idara ya
Habari Maelezo jijini Dar es Salaam mwaka jana. Kulia ni mdau wa muziki
Juma Mbizo na Meneja wa Msondo Ngoma, Said Kibiriti (kushoto).
Mzee Muhidin Gurumo akiwa na ufunguo wa gari alilozawadia na Staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ (kulia
0 comments:
Post a Comment