LATEST POSTS

Showing posts with label KIMATAIFA. Show all posts
Showing posts with label KIMATAIFA. Show all posts

Thursday, June 25, 2015

Malkia Elizabeth wa Uingereza atoa tuzo kwa vijana wawili wa Kitanzania

Malkia Elizabeth wa Uingereza jana alitoa tuzo ijulikanayo kama ‘The Queen’s Young Leader Award’ kwa vijana wawili wa Tanzania. Vijana hao ni Given Edward na Angela Benedicto Mnagoza
CIREv0ZW8AAv1zd
“Today I received a award from Queen Elizabeth II of United Kingdom. It was awesome and very inspiring,” ameandika Given kwenye ukurasa wake wa Facebook. “Before the awarding ceremony, I met with UK Prime Minister, Mr. David Cameron at 10 Downing Street I got a chance to visit Twitter offices and BBC and conduct and interview with BBC Swahili. After that we headed to Buckingham Palace where we received the award from Queen Elizabeth II and met various public figures. Dinner was at St.James Palace hosted by The Duke of York. The day as awesome1 — at Buckingham Palace.” Watu mbalimbali wamewapongeza watanzania hao kwenye mitandao ya kijamii. Chini ni maelezo kuhusu tuzo hiyo na sababu za vijana hao kupewa. The Queen’s Young Leader Award aims to recognise exceptional people aged 18­29, who are taking the lead in their communities and using their skills to transform lives. Winners of this prestigious Award will receive a unique package of training, mentoring and networking, including a one­week residential programme in the UK during which they will collect their Award from Her Majesty The Queen. 

With this support, Award winners will be expected to continue and develop the amazing work they are already doing in their communities. This year there were 1800 youth nominated for the award. The Advisory Panel shortlisted the names and another panel made of personnel from 3 partner organizations (The Royal Commonwealth Society, Comic Relief and The Queen Elizabeth Diamond Jubilee Trust) made final decisions and chose the winners. 60 youths have been awarded this award of which in Tanzania there are two Given Edward and Angela Mnagoza:­ 1) Given Edward He has been awarded for his leadership activities in Tanzania and for his project which provides a platform for students in Tanzania to discuss subjects online. You can view it at www.myelimu.com. He created it last year in February and up to now we have more than 700 students registered. 

It’s for students in O level and A level. He currently work at Tanzania Youth Vision Association as the Head of Research and Information, whom he has been working with for 4 years now. He also work with the Youth of United Nations in carrying out different activities and events. 

Past achievements have also been helpful. He was awarded the best delegate in Dar es Salaam Model United Nations Conference 2012; and last year he was among 200 youth selected across Africa to attend the Africa Model United Nations Conference in Addis Ababa, Ethiopia. 2. Angela Benedicto Mnagoza Following the death of her mother and her aunt, Angela worked in domestic service where

she was abused and exploited by her employer. She now promotes the rights of child domestic workers, educating this marginalised workforce and attempting to change attitudes towards them. 

WHAT WILL AN AWARD WINNER RECEIVE? Mentoring As a Queen’s Young Leader you will be allocated a mentor with relevant experience and expertise who will support you over the course of the year to continue and develop your work. Online learning Online learning will be provided with materials relevant to your area of interest, as well as serving as a place for you to meet and share experiences and knowledge with other Queen’s Young Leaders. 

One­week residential programme in the UK The Award winners will have the opportunity to meet with inspiring people and visit organisations in the UK that have expertise in areas such as media and communications, social action and advocacy. During this week, Awards will be presented by Her Majesty The Queen at Buckingham Palace.

MJAMAICA KUTOA MAHALI YA HEKA 10 ZA BANGI ILI KIJANA WAKE AMUOE MTOTO WA OBAMA.

WANAUME WANAOMTAMANI KUMUOA BINTIYE RAIS OBAMA, MALIA OBAMA WANAZIDI KUONGEZEKA.

BAADA YA FELIX KIPRONOH WA KENYA NA MWENZAKE KUTOKA HUKO HUKO KENYA KUJITOKEZA NA NG’OMBE KADHAA KAMA MAHARI YA KUTAKA KUMUOA MALIA, JANA MZAZI MMOJA KUTOKA JAMAICA AMEJITOKEZA PIA NA MAHARI KWA AJILI YA KUMNASA MALIA OBAMA AWE MKE WA KIJANA WAKE.

MAHARI ILIYOTOLEWA MARA HII KUTOKA JAMAICA, SIO YA KAWAIDA MZAZI HUYO KWA JINA ROY CHAMBERS, AMEISHANGAZA DUNIA KWA KUTOA EKARI 10 ZA BANGI KAMA MAHARI KWA FAMILIA YA WHITE HOUSE KWA AJILI YA KUMPOSA MREMBO MALIA OBAMA KAMA MKE WA KIJANA WAKE.
MALIA OBAMA

“ NILIJARIBU KUMPATA OBAMA AKIWA HAPA JAMAICA WIKI CHACHE ZILIZOPITA LAKINI WALINZI WAKE WALINIZUIA, NIMEMTUMIA BARUA PEPE  NA NADHANI ATANIPA MREJESHO HIVI KARIBUNI”, CHAMBERS AMESEMA KATIKA MTANDAO WAKE.

“ SHAMBA LANGU LINA THAMANI KUBWA SANA KWANGU NA JAMAICA KWA JUMLA LAKINI KWA KUWA KIJANA WANGU ANAMPENDA MALIA OBAMA, NIKO RADHI KULITOA SHAMBA HILO KWA OBAMA ILI KIJANA WAKE AMUOE MREMBO HUYO” AMESEMA CHAMBERS.

Friday, June 19, 2015

China yawazuia Waislamu wa Xinjiang kufunga Saum


Serikali ya China imepiga marufuku wanafunzi, walimu na watumishi wa umma katika eneo la Xinjiang lenye Waislamu wengi kutekeleza ibada ya Saumu kwenye mwezi huu mtukufu wa Ramadhani. Serikali pia imezuia watu kuhudhuria marasimu yoyote ya kidini ikiwa ni pamoja na ibada za usiku. Taarifa ya serikali imetaka biashara kwenye hoteli na mikahawa kufunguliwa nyakati za mchana kama kawaida. Wanaharakati wa Kiislamu wamepinga agizo hilo la serikali wakisema linalenga kuhujumu dini tukufu ya Kiislamu.
Kwa miaka kadhaa sasa, serikali ya China imekuwa ikitekeleza sheria hiyo ya kibaguzi, na mwaka uliopita, watu kadhaa walifikishwa kortini kwa kukaidi sheria hiyo na kutekeleza ibada ya funga. Ingawa serikali inasema lengo la kuweka sheria hiyo ni kuhakikisha masuala ya dini hayavurugi muundo wa jamii, duru za kuaminika zinasema sheria hiyo ina malengo ya kiuchumi kwani imewekwa ili kuhakikisha nguvu kazi ya taifa haipungui katika mwezi wa Ramadhani.