LATEST POSTS

Saturday, November 7, 2015

MAGUFULI AFUTA SAFARI ZOTE ZA NJE YA NCHI KUANZIA LEO

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk John Pombe Magufuli. Rais  wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk John Pombe Magufuli amefuta safari zote za nje ya nchi kuanzia leo hadi hapo maamuzi mengine yatakapotolewa. Dk Magufuli...

Saturday, October 31, 2015

Friday, October 30, 2015

Tanzania's new president, 'The Bulldozer' Magufuli

Dar es Salaam (AFP) - Tanzania's new leader John Pombe Magufuli...

Thursday, October 29, 2015

NIMEKIPENDA KIMSHONO CHA GENEVIEVE NNAJI

kamshono kazuri eti eeh! ...

JK AMPONGEZA RAIS MTEULE DK. MAGUFULI IKULU, DAR JIONI HII

  Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimpongeza kwa furaha mshindi wa kinyang'anyiro cha Urais kwa tiketi ya CCM na Rais Mteule Dkt John Pombe Joseph Magufuli wakifurahia matokeo mara baada ya Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Damian Lubuva kutangaza kutangaza...

BREAKING NEWS: DK. MAGUFULI NDIYE RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imemtangaza Dk. John Pombe Magufuli kuwa ndiye Rais Mteule wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania baada ya kupata kura 8,882,935  sawa na asilimia 58.46%. Dk. John Pombe Magufuli...

Wednesday, October 28, 2015

DIAMOND: KAWEKA HISTORIA ULAYA

Staa wa muziki wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’. OKTOBA 25, mwaka huu ilikuwa ni moja kati ya siku...

BREAKING NEWS: ZEC YAFUTA MATOKEO YA UCHAGUZI ZANZIBAR

Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), Jecha Salim Jecha. Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), Jecha Salim Jecha ametangaza kufuta matokeo ya Uchaguzi  Zanzibar, uliofanyika Oktoba 25, 2015. Jecha amesema kuwa, ZEC imefuta matokeo ya...

Monday, October 19, 2015

Kweli mapenzi yana nguvu. neno i love you lamzindua lamzindua Lamar aliyekua amepoteza fahamu tangu oktoba, 13.

Lamar Odom.  MUNGU mkubwa! Lamar Odom mwishoni mwa wiki hii aliamka baada ya kupoteza fahamu kwa zaidi ya siku tatu, kwa madai ya kuzidisha matumizi ya dawa za kulevya, lakini Ijumaa iliyopita alizinduka baada ya kusikia sauti ya ...

Wednesday, October 14, 2015

SHERIA YA MTANDAO YAMGUSA MWINGINE MKOANI DODOMA

Mtayarishaji wa vipindi, Sospiter Jonas amefikishwa katika Mahakama ya Mwanzo ya Dodoma Mjini akishtakiwa kwa matumizi mabaya ya mtandao. Sospiter alisomewa mashtaka hayo na Mwendesha Mashtaka wa Polisi, Mussa mbele...

Jamani, aliyetuumba hajatukosea. Why all this?

Nashauri wamama na wadada tuachane na mambo kama haya ya kutumia viungo bandia katika miili yetu. Ni vizuri tujipende na kujivunia vile ambavyo Mungu ametuumba kwani hajatukosea. Haya, umeweka maziwa kama haya ya bandia, halafu ukapata shemeji, mkifika chumbani inakuaje sasa?...

My dear fellow women, will you be able to try this Snail Beauty Treatments ? Me I can't ooh!

I copied it from somewhere.... I have been obsessed with beauty products from a young age.Really bad I know! But, for about two years now, I found a new obsession with natural skin care procedures.Last week, I decided to attend the Beauty Africa Exhibition Expo...

FLORA MBASHA AKIRI: MWANANGU SI WA MBASHA!

OHOOO! Kimenuka tena. Mwimbaji wa nyimbo za Injili, Flora Mbasha amesema mwanaye mdogo (jina linahifadhiwa) hahusiani hata kidogo na aliyekuwa mumewe, Emmanuel Mbasha huku akidai kuwa anamtambua mwanaume huyo kama mzazi mwenzake kwa...

Tuesday, October 13, 2015

Maelezo ya Wizara kuhusu umiliki wa mitambo ya kuzalisha umeme

  JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA NISHATI NA MADINI TAARIFA KWA UMMA Hivi karibuni zimeibuka taarifa zinazosambazwa katika mitandao ya kijamii zikimnukuu Waziri wa Nishati na Madini, George B. Simbachawene akisema kuwa mitambo yote ya uzalishaji...

Wanafunzi wataka Nec kutafuta ufumbuzi wapige kura

  Wanafunzi wa Shule ya Arusha Sekondari wameiomba Tume ya Taifa ya Uchaguzi (Nec) kutafuta ufumbuzi kwa wanafunzi waliojiandikisha vituo tofauti na walipo sasa ili waruhusiwe kupiga kura. Waliyasema hayo wakati wa mafunzo ya elimu ya uraia na mpigakura...